Selection First Round 2023/2024

ORODHA YA MAJINA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KAMPASI ZA LITA KWA MASOMO 2023/2024 - AWAMU YA KWANZA

NB: Unahitajika kutunza namba ya msimbo uliyopokea kutoka NACTVET kupitia namba ya simu ya mkononi uliyoweka wakati wa kutuma maombi ya kujiunga na Chuo. Aidha, namba ya msimbo itatumika kwenye zoezi la usajili pindi utakaporipoti chuoni.