JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI
WAKALA YA MAFUNZO YA MIFUGO
TANGAZO LA MAOMBI YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA MIFUGO
Wakala ya Mafunzo ya Mifugo (LITA) kupitia Kampasi zake za Tengeru, Buhuri, Mpwapwa, Morogoro, Madaba, Temeke, Mabuki na Kikulula inakaribisha maombi ya kujiunga na mafunzo ya mifugo, katika mwaka wa masomo 2025/2026
Kozi zitolewazo ni:
1. Astashahada na Stashahada ya Afya na Uzalishaji wa Mifugo
2. Astashahada na Stashahada ya Teknolojia ya Maabara ya Wanyama
3. Astashahada na Stashahada ya Uendelezaji wa Nyanda za Malisho na Teknolojia ya Vyakula vya Mifugo
Sifa za waombaji
AU
AU
Kozi zote zinazotolewa na LITA zinakidhi vigezo vya kupata mikopo inayotolewa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.
Maombi yatumwe kwa njia ya mtandao kupitia: https://olas.lita.go.tz
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 11 Julai, 2025.
Kwa mawasiliano zaidi tumia namba zifuatazo: 0742 762 364; 0767 775 146; 0714 994 755; au 0754 828 688
AU tembelea Tovuti ya Wakala: www.lita.go.tz
WOTE MNAKARIBISHWA