Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki ametoa wito kwa Wakala wa Vyuo vya mafunzo ya mifugo (LITA) kuongeza wigo wa utoaji Mafunzo kwa wafugali ili wawe na mtizamo wa kufuga kisasa na kupata faida zaidi.
ULEGA AWATAKA WAFUGAJI PWANI KUVUNA MIFUGO YAO