​Wakala ya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA) imeendelea kuimarisha utoaji wa elimu kwa wafugaji nchini kupitia mafunzo ya muda mfupi na muda mrefu yanayotolewa katika kampasi zake pamoja na kuwafuata wafugaji moja kwa moja kwenye maeneo yao ili kuwajengea uwezo wa kufanya ufugaji wa kisasa na wa kibiashara.
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Bi. Agnes Kisaka Meena, amewataka Watumishi wa Taasisi ya Wakala wa Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA), kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa uweledi, ubunifu, uchapakazi na uhadilifu mkubwa ili kuweza kuleta matokeo chanya katika Taasisi yao na Sekta ya Mifugo kiujumla.
WARSHA YA KUANDAA MTAALA WA TEKNOLOJIA ZA UZALISHAJI WA KUKU YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imezindua rasmi mradi wa mafunzo kwa wataalamu wa afya ya mifugo, yanayofanyika katika nchi nne za Tanzania, Botswana, Zambia na Malawi.