WATUMISHI WA LITA WAHIMIZWA KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amezindua bweni la wanafunzi
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) na tume ya ushirika inatengeneza muongozo utakaoweza kuwasaidia wafugaji kupata mikopo kwenye vikundi vya wafugaji
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Bw. Tixon Nzunda ameitaka Wakala ya Elimu ya Mafunzo ya Mifugo nchini (LITA) kuwa chanzo cha elimu bora ya mifugo ndani na nje ya nchi.